Thursday, September 6, 2012

Creating S.M.A.R.T. Goals

Creating S.M.A.R.T. Goals

Specific
Measurable
Attainable
Realistic
Timely
Specific: A specific goal has a much greater chance of being accomplished than a general goal. To set a specific goal you must answer the six “W” questions:
*Who:      Who is involved?
*What:     What do I want to accomplish?
*Where:    Ident

Wednesday, August 29, 2012

Legese Zenawi.....pia hakupenda kukaa ndani ya boksi

Nitaishi kuwa Meles

Mwaka 1975 Mwanafunzi wa mwaka wa Kwanza wa Chuo Kikuu cha Haile Selasie (sasa Chuo Kikuu cha Addis Ababa) Legese Zenawi, akiwa na umri wa miaka 19 tu, aliacha masomo yake na kujiunga na kikundi cha Ukombozi cha watu wa Tigray (Tigray Peoples Liberation Front). Legese alikuwa anasomea shahada ya kwanza ya udaktari. Hakurudi tena Chuoni kusomea Udaktari na hakuishi tena maisha ya ujana ambayo sisi wengine wote tumeishi na kuyafurahia. Mwaka 2012 Legese akiwa na umri wa miaka 57 alifariki dunia. Lakini aliaga dunia akiwa Meles Zenawi na sio Legese Zenawi, jina alilopewa na wazazi wake huko Adwa kaskazini mwa Ethiopia.

Legese alibadili jina lake kwa hiari yake kufuatia kuuwawa kwa rafiki yake na mpiganaji mwenzake Meles mwaka 1975. Aliamua kumuishi mpiganaji mwenzake kwa kuchukua jina lake na kuacha jina alilopewa na wazazi wake. Meles alifanikiwa kupigana dhidi ya utawala wa kiimla wa Mengistu Haile Mariam na kumtoa madarakani na kuingiza uongozi wa kimaendeleo chini ya chama cha Kitaifa

10% ya Tanzania bado haijalimwa

Tanzania ina eneo mraba la hekta 94.3 milioni, ambazo hekta 22 milioni (23%) zimetengwa kwa hifadhi(ikiwa ni eneo kubwa la rasilimali ya ardhi kutengwa kuliko nchi nyingine yeyote Kusini mwa Sahara), ikijumuisha Mbuga za Taifa (hekta 4.2 millioni), hifadhi za wanyama (hekta 7.7 millioni) na hifadhi za misitu (hekta 10.1 millioni).  Eneo lote linalolimwa kwa mwaka ni kama hekta 5.1 millioni ambazo ni asilimia 5 ya uso wa Tanzania.  Ardhi ile nyingine ifaayo kilimo, lakini haijalimwa, ni hekta 10 milioni, na sehemu kubwa ikiwa inatumiwa kulisha mifugo.  Ndani ya hifadhi, kuna hekta nyingine milioni 4 zifaazo kilimo. 
Sheria ya Ardhi 1999, na sheria ya aridhi ya Vijiji 1999
Sheria ya Ardhi na Sheria ya Ardhi ya Vijiji kwa pamoja ni sheria zinazoweka misingi ya kutawala na kusimamia ardhi, kusuluhisha migogoro na mengine yanayohusiana. Utekelezaji wa sheria hizi utahitaji uelimishaji wa washika dau wote

Monday, August 27, 2012

JOB VACANCY AT DUWASA - DODOMA


JOB VACANCY AT DUWASA - DODOMA

Dodoma Urban Water Supply and Sanitation Authority (DUWASA) was established under section 3(I) of Cap. 272 of 1997 as repealed by section 60 of Water Supply and Sanitation Act No. 12 of 2009. DUWASA is charged with the overall responsibility of operations and management of water supply and sanitation services in Dodoma urban within the Municipality. Applications are invited from suitably qualified, dynamic, experienced and performance driven Tanzanians, male and female, to fill in the following excellent carrier opportunity:


1988 hadi milioni 34.4 je 2012?/

Sensa ya Idadi ya Watu na Makazi ya mwaka 2002 ilionyesha kwamba idadi ya watu
Tanzania iliongezeka kutoka milioni 23.1 mnamo 1988 hadi milioni 34.4 mnamo
2002, ikiwa ni wastani wa kiwango cha ukuaji cha asilimia 2.9 kwa mwaka. Sehemu
ya watu wenye umri chini ya miaka 15 ilikuwa karibu asilimia 44, wakati wale
wenye umri wa miaka 65 na zaidi walikuwa asilimia 4; ikionyesha kwamba Tanzania

mambo matano ya kuzingatia katika mitandao ya kijamii

1. Share with Real Friends

When you feel the need to share something personal, make sure you do it in person and with people you trust. If you feel the need to share online, don’t say something online you wouldn’t say offline. Being online doesn’t make you anonymous. Your comments won’t just blend into the fray.
In fact, there’s a better chance your comments w

Wednesday, August 22, 2012

60percent of Lecturers don’t have Doctorate Degrees

60percent of Lecturers in Nigerian Universities don’t have Doctorate Degrees – President Goodluck Jonathan

Posted on Wednesday, August 22nd, 2012 at 5:53 AM By Adeola Adeyemo
President of Nigeria, Goodluck Jonathan has lamented that 60 percent of lecturers in Universities across the country have no doctorate degree.
The President said this in Yenagoa, Bayelsa State yesterday, while interacting with 100 beneficiaries of the state’s scholarship programme.
Jonathan said he got the statistics from the National University Commission.
He, however added that the Federal Government had provided respite for the lecturers and that his administration had worked out a scholarship programme to encourage lecturers to get their doctorate degrees in any part of the world.
He said his administration had designed another scholarship programme for a category of people he referred to as “intelligent Nigerians”.
Jonathan told Punch: “About 60 per cent of lecturers don’t have PhDs and we reject it. We decided to come up with a programme for you; to be in the academics, you must have PhD. This means that we must work out a programme for everybody to have scholarship.
“Everybody who is in the academics must have an opportunity to go and do their doctorate degrees anywhere. In addition to that, we think that as a nation, we have very intelligent people and we must get a scholarship for these people who are very intelligent.
“We come up with a programme for intelligent Nigerians. To select this group of people, first and foremost you must make first class in the university. You don’t need to make a first class to be a lecturer. In addition to giving every lecturer an opportunity to get a PhD and lecture, we need a programme for intelligent Nigerians.
“We are trying to get a crop of Nigerians that will take us to the moon. That is what the Bayelsa State Government is doing here. We must encourage our best brains. I am quite appreciative of Dickson.”
He said prospective beneficiaries must possess first class degrees from the university adding that the special scheme was designed for specific areas of discipline such as molecular biology, genetics, economics, engineering and applied sciences.
*** 
What are your thoughts on the academic qualifications of lecturers in Nigerian Universities? With 60 percent of lecturers not having doctorate degrees, how does this affect the quality of graduates churned out from Nigerian Universities?

Tuesday, August 21, 2012

TANZANIA AUDITING STANDARDS

                                (NBAA)
THE NATIONAL BOARD OF ACCOUNTANTS AND AUDITORS     TANZANIA

TECHNICAL PRONOUNCEMENT NO. 1 OF 2011
WITHDRAWAL OF THE TANZANIA AUDITING STANDARD (TAS) NO. 9 ON THE
GUIDANCE FOR INTERNAL AUDITORS AND ADOPTION OF THE
INTERNATIONAL PROFESSIONAL PRACTICE FRAMEWORK (IPPF)
                    www.theiia.org.
Tanzania migrated to International Financial Reporting Standards (IFRSs), International Public
Sector Accounting Standards (IPSASs) and International Standards on Auditing (ISAs) with
effect from 1st July 2004. Before migration to the International Standards in 2004, Tanzania had
its own local standards known as Tanzania Financial Reporting Standards (TFASs) and Tanzania
Auditing Standards (TASs) which were issued by NBAA. TASs contained internal auditing
standard number 9 on the “Guidance for Internal Auditors” which was consequently withdrawn.
The NBAA Governing Board at its 151st meeting held on 29th March, 2011 approved the use of
the International Professional Practice Framework (IPPF) latest edition issued by the Institute of
Internal Auditors (IIA) instead of the withdrawn TAS 9.
The use of the IPPF is effective from 1st July 2011, however, earlier application is encouraged.

BEST PRESENTED FINANCIAL STATEMENTS AWARDS FOR THE YEAR

 (NBAA)
THE NATIONAL BOARD OF ACCOUNTANTS AND AUDITORS
TANZANIA
INVITATION TO PARTICIPATE IN THE BEST PRESENTED FINANCIAL STATEMENTS
AWARDS FOR THE YEAR 2011


1.0 INTRODUCTION
The National Board of Accountants and Auditors (NBAA) invites reporting entities in Tanzania to
participate in the “Best Presented Financial Statements Awards” for the year 2011.

2.0 BEST PRESENTED FINANCIAL STATEMENTS AWARDS FOR THE YEAR 2011
2.1 Objectivehttp://www.nbaa-tz.org/index.htm